Wednesday, October 03, 2012

Flora Mbasha na Mumewe wafunika mjini Goma, DRC


 Flora Mbasha na mumewe Emmanuel Mbasha  wakitambulishwa kwa mashabiki wao lukuki kwenye onesho lao mjini Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambako walivunja rekodi kwa wingi wa mashabiki
 Kina Ras Makunja wa DRC ilibidi waletwe kuhakikisha ulinzi ni wa kutosha
 Flora na mumewe wakifanya vitu vyao kwa furaha
 Flora na mumewe wakisindikizwa hotelini kwao
 Msafara kuelekea kwenye onesho
 Ulinzi kwa Emmanuel Mbasha

No comments:

RAIS SAMIA AMKARIBISHA RAIS WA NAMIBIA KATIKA ZIARA YA KITAIFA, WAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA NA MAENDELEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt....