Friday, October 12, 2012

BREAKING NEWS: VURUGU ZATOKEA MBAGALA KIZUIANI BAADA YA KIJANA KUDAIWA KUKOJOLEA QURAN

Taarifa zilizotufikia hivi punde kutoka RADIO ONE ni kwamba kuna vurugu zinaendelea eneo la Mbagala Kizuiani ambapo baadhi ya Waislamu wameandamana kupinga kitendo cha kijana mmoja kukojolea Quran.
Kwa sasa mabomu ya machozi yanapigwa ili kuwatawanya waandamanaji hao ambao wamezingira kituo cha Polisi wakitaka kijana huyo atolewa la sivyo watakichoma moto kituo hicho.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...