Friday, October 12, 2012

BREAKING NEWS: VURUGU ZATOKEA MBAGALA KIZUIANI BAADA YA KIJANA KUDAIWA KUKOJOLEA QURAN

Taarifa zilizotufikia hivi punde kutoka RADIO ONE ni kwamba kuna vurugu zinaendelea eneo la Mbagala Kizuiani ambapo baadhi ya Waislamu wameandamana kupinga kitendo cha kijana mmoja kukojolea Quran.
Kwa sasa mabomu ya machozi yanapigwa ili kuwatawanya waandamanaji hao ambao wamezingira kituo cha Polisi wakitaka kijana huyo atolewa la sivyo watakichoma moto kituo hicho.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MISITU DUNIANIA NA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KITAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameelekeza uongozi wa Mikoa yote nchini kuhakikisha jitih...