Sunday, October 07, 2012

Aggrey Marealle achanguliwa Mjumbe wa NEC Moshi Mjini


Kada wa Chama cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, Agrey Mareale jana amechaguliwa kuwa Mjkumbe wa NEC kutoka Wilaya ya Moshi mjini Mkoani Kilimajaro.Mareale amemwangusha mpinzani wake katika nafasi hiyo Buni Ramole. Aidha katika uchaguzi huo pia ulimchagua Bi. Elizabeth Minde kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya Moshi Mjini.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...