Sunday, October 07, 2012

Aggrey Marealle achanguliwa Mjumbe wa NEC Moshi Mjini


Kada wa Chama cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, Agrey Mareale jana amechaguliwa kuwa Mjkumbe wa NEC kutoka Wilaya ya Moshi mjini Mkoani Kilimajaro.Mareale amemwangusha mpinzani wake katika nafasi hiyo Buni Ramole. Aidha katika uchaguzi huo pia ulimchagua Bi. Elizabeth Minde kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya Moshi Mjini.

No comments:

RAIS SAMIA AMKARIBISHA RAIS WA NAMIBIA KATIKA ZIARA YA KITAIFA, WAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA NA MAENDELEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt....