Wednesday, October 03, 2012

Maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani

 Wasanii wa kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakiburudisha  kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam

 Wasanii wa kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakiburudisha  kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri wa ujenzi Injinia Gerson Lwenge akitoa hotuba kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Kilele cha maadhimisho hayo kilikuwa Oktoba Mosi. Picha zote kwa Hisani ya Emmanuel Herman.

No comments:

RAIS SAMIA AMKARIBISHA RAIS WA NAMIBIA KATIKA ZIARA YA KITAIFA, WAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA NA MAENDELEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt....