Wednesday, October 03, 2012

Maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani

 Wasanii wa kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakiburudisha  kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam

 Wasanii wa kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakiburudisha  kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri wa ujenzi Injinia Gerson Lwenge akitoa hotuba kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Kilele cha maadhimisho hayo kilikuwa Oktoba Mosi. Picha zote kwa Hisani ya Emmanuel Herman.

No comments:

Waziri Kombo akutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Umoja wa Afrika

   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa U...