Wednesday, October 03, 2012

Maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani

 Wasanii wa kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakiburudisha  kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam

 Wasanii wa kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakiburudisha  kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri wa ujenzi Injinia Gerson Lwenge akitoa hotuba kwenye maadhimisho ya siku ya makazi duniani yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Mabadiliko ya miji na fursa za maendeleo”. kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Kilele cha maadhimisho hayo kilikuwa Oktoba Mosi. Picha zote kwa Hisani ya Emmanuel Herman.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aungana na Waombolezaji Chato Katika Ibada ya Kumuaga Mama wa Hayati Dkt. John Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumu...