Basi la Dar
Express limepata
ajali ya kuungua moto jana asubuhi katika njia panda ya Dar, Arusha,
Tanga (Segera) hakuna
mtu aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Katika ajali hiyo mizigo yote
iliteketea kwa moto huo ambapo abiria wengi waliokuwamo kwenye gari hilo
walikuwa ni wanafuzi. Picha
na Samweli Mikuza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SERIKALI KUTUMIA TRILIONI 1.18 UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA ZA WILAYA
Dodoma Katika mwaka wa fedha 2025/26, Ofisi ya Rais - TAMISEMI kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini TARURA imepanga kutumia shil...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment