Tuesday, October 09, 2012

WAREMBO WA REDD'S MISS TANZANIA WATEMBELEA MLIMA KILIMANJARO


 Baadhi ya Warembo wanaowania taji la Redd's Miss Tanzania 2012 wakizungumza na baadhi ya wabeba Mizigo ya Watalii mbali mbali waliofika kwenye Lango kuu la Kupanda Mlima Kilimanjari,lililopo Marangu Mkoani Kilimanjaro.Warembo hawa wametembelea eneo hilo la Mwanzo wa Mlima Kilimanjaro uliopo Marangu mapema leo asubuhi kwa ajili ya kujifunza mambo mbali mbali ya utalii wa ndani.

 

  Afisa Msaidizi wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Eva Mallya akitoa maelezo kwa Warembo wanaowania Taji la Redd's Miss Tanzania 2012,juu ya Utaratibu wa Upandaji Upandaji wa Mlima Kilimanjaro.Warembo hawa wametembelea eneo hilo la Mwanzo wa Mlima Kilimanjaro uliopo Marangu mapema leo asubuhi kwa ajili ya kujifunza mambo mbali mbali ya utalii wa ndani.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...