Afisa Msaidizi wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Eva Mallya akitoa maelezo kwa Warembo wanaowania Taji la Redd's Miss Tanzania 2012,juu ya Utaratibu wa Upandaji Upandaji wa Mlima Kilimanjaro.Warembo hawa wametembelea eneo hilo la Mwanzo wa Mlima Kilimanjaro uliopo Marangu mapema leo asubuhi kwa ajili ya kujifunza mambo mbali mbali ya utalii wa ndani.
Tuesday, October 09, 2012
WAREMBO WA REDD'S MISS TANZANIA WATEMBELEA MLIMA KILIMANJARO
Afisa Msaidizi wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Eva Mallya akitoa maelezo kwa Warembo wanaowania Taji la Redd's Miss Tanzania 2012,juu ya Utaratibu wa Upandaji Upandaji wa Mlima Kilimanjaro.Warembo hawa wametembelea eneo hilo la Mwanzo wa Mlima Kilimanjaro uliopo Marangu mapema leo asubuhi kwa ajili ya kujifunza mambo mbali mbali ya utalii wa ndani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...





No comments:
Post a Comment