Thursday, October 04, 2012

Yanga na Simba walivyotunguana mabao

 Kiungo Machachari wa Timu ya Yanga,Haroun Niyonzima akijaribu kutaka kumtoka,Shomari Kapombe wa Simba katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara unaoendelea kuchezwa hivi sasa katika uwanja wa Taifa,jijini Dar es Salaam.Kipindi cha kwanza kilimalizika huku Simba wakiongoza kwa bao 1-1 lililofungwa na Mchezaji Amri Kiemba. Yanga wakasawazisha kwa njia ya Penati kupitia kwa Mchgezaji Bahanuzi.
 


Simba wakipasha

Yanga wakipasha

 

No comments: