Wednesday, October 24, 2012

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAZINDUA MAUZO YA NYUMBA ZA MAKAZI MINDU PLACE

 Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa, David Misonge Shambwe (kulia) akizungumza kwenye uzinduzi wa nyumba za kuuza za makazi za Mindu zilizopo jijini Dar es Salaam leo mchana huu, kulia kwake ni Meneja wa Masoko na Utafiti wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Itandula Gambalagi.
Meneja wa Masoko na Utafiti wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Itandula Gambalagi (kushoto) akibadilisha mawazo na bwana Stanley wa Aggrey and Clifford ambao ni wadau wakubwa wa matangazo na utafiti wa Shirika la Nyumba la Taifa kwenye uzinduzi wa nyumba za kuuza za makazi za Mindu zilizopo jijini Dar es Salaam leo mchana huu.
 Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa, David Misonge Shambwe (kulia) akizungumza na vyombo vya habari kwenye uzinduzi wa nyumba za kuuza za makazi za Mindu zilizopo jijini Dar es Salaam leo mchana huu.

Baadhi ya watu waliofika kushuhudia  uzinduzi wa nyumba za kuuza za makazi za Midu zilizopo jijini Dar es Salaam leo mchana huu.
 Nyumba hizo za makazi zinavyoonekana kwa ndani
  Wadau muhimu wa sekta ya habari wakifuatilia kwa kina maelezo ya Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa, David Misonge Shambwe (hatyupo pichani) wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa nyumba za kuuza za makazi za Mindu zilizopo jijini Dar es Salaam leo mchana huu. (Picha zote kwa hisani ya SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA)



No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...