Wednesday, October 17, 2012

MKUTANO WA CHADEMA UINGEREZA

Mc wa shughuli kamanda Prudence Kahatano akikaribisha wadau na kufungua mkutano
 Mgeni kutoka Tanzania Mh. Ezekiel Wenje akimwaga sera wakati wa mkutano wa CHADEMA UK uliyo fanyika jini London mwaishioni mwa mwaiki iliyopita.
Mgeni mwingine kutoka Tanzania kamanda Makelele katibu mwenezi CHADEMA Moshi akimwaga sera.
Katibu Mkuu wa Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) akiongea machache

High Table
Makamanda wakifuatilia mkutano kwa makini
 Makamu Katibu Mwenezi wa CHADEMA UK Dr. John Lusingu akimwaga sera zake na kutoa hoja zake
Mkutano ukiendelea
Kwa picha zaidi tembelea http://www.jestina-george.com

No comments:

Waziri Kombo akutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Umoja wa Afrika

   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa U...