PICHANI NI MATUKIO MBALIMBALI YA RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOKUTANA NA MMOJA WA WALIMU WALIOMFUNDISHA UDSM MIAKA YA 1970, PROF. ABDUL AZIZ JALLOH. WAWILI HAO WALIKUTANA BAADA YA MIAKA MINGI WAKATI RAIS AKIZINDUA ZOEZI LA TATHMINI YA UTAWALA BORA CHINI YA MPANGO WA AFRIKA KUJIPIMA KIUTAWALA BORA (APRM) MACHI, 2012 IKULU DAR ES SALAAM. PROF. JALLOH ALIKUWA NCHINI AKIWA MMOJA WA WATAALAMU BINGWA WALIOKUJA KUHAKIKI HALI YA UTAWALA BORA NCHINI. MWENYE 'FRENCH TIE' NI WAKILI (BARRISTER) AKERE MUNA ALIYEKUWA KIONGOZI WA JOPO LA WAHAKIKI HAO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment