PICHANI NI MATUKIO MBALIMBALI YA RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOKUTANA NA MMOJA WA WALIMU WALIOMFUNDISHA UDSM MIAKA YA 1970, PROF. ABDUL AZIZ JALLOH. WAWILI HAO WALIKUTANA BAADA YA MIAKA MINGI WAKATI RAIS AKIZINDUA ZOEZI LA TATHMINI YA UTAWALA BORA CHINI YA MPANGO WA AFRIKA KUJIPIMA KIUTAWALA BORA (APRM) MACHI, 2012 IKULU DAR ES SALAAM. PROF. JALLOH ALIKUWA NCHINI AKIWA MMOJA WA WATAALAMU BINGWA WALIOKUJA KUHAKIKI HALI YA UTAWALA BORA NCHINI. MWENYE 'FRENCH TIE' NI WAKILI (BARRISTER) AKERE MUNA ALIYEKUWA KIONGOZI WA JOPO LA WAHAKIKI HAO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment