Tunu Kavishe,
(Katikati), Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano benki ya Barclays-Tanzania,
akizungumza muda mfupi kabla ya kuchezeshwa bahati nasibu ya promosheni
ya Barclays ya shinda na ukaone ligi kuu ya Uingereza, Katika bahati
nasibu hiyo, mteja wa benki hiyo jijini Mbeya, Anthony Hancy, aliibuka
mshindina hivyo kujipatia nafasi ya kusafiri kwenda uingereza akiwa na
ampendaye ili kujionea ligi kuu ya nchi hiyo maarufu kama, "Barclays
Premier League". |
No comments:
Post a Comment