Sunday, November 15, 2009

Kwa wale wapenda ulabu tu











Hii imetokea huko Iran ambako Pombe ni kitu haramu! hii ni operation iliyofanyika mitaani ya kuharibu vitu vyote vya aina ya kilevi ilikufanya watu wasilewe. Jamani hapom mpo?Tukio hili limechangiwa sana na imani za KIDINI!!!!!!!

1 comment:

Anonymous said...

Ardhi ilikua chakali.Ukihisukumatu chini.

NAIBU WAZIRI MAGHEMBE AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI MORAKA JIJINI PRETORIA

  PRETORIA-Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe amefanya mazungumzo na Naibu Waziri wa...