Sunday, November 22, 2009

Busta Rhymes ndani ya Tamasha la Fiesta





Tamasha kubwa la burudani la Fiesta 2009 limefanyika usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam ambapo mwanamuziki wa Hip Hop kutoka nchini Marekani, Busta Rhymes na wasanii wa hapa nchini walitumbuiza na kukonga nyoyo za mshabiki waliofurika kama nyuki.
Katika onyesho hilo busta alionesha uwezo mkuwa wa kuliteka jukwaa wakiwemo na hata mashabiki kwa kiasi kikubwa, mbali ya kamuzi hilo Busta ameisifu Tanzania na watu wake akisema ni watu wazuri wakarimu na kuongeza kuwa amefurahishwa sana na umati wa watu uliojitokeza kwenye tamasha la Fiesta One Love 2009.

No comments:

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΊπŸ‡¬ DIPLOMASIA NA USHIRIKIANO WA TANZANIA–UGANDA WAZIDI KUIMARIKA

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili katika Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam leo, tarehe 06 Agosti 2026, ...