Sunday, November 22, 2009

Busta Rhymes ndani ya Tamasha la Fiesta





Tamasha kubwa la burudani la Fiesta 2009 limefanyika usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam ambapo mwanamuziki wa Hip Hop kutoka nchini Marekani, Busta Rhymes na wasanii wa hapa nchini walitumbuiza na kukonga nyoyo za mshabiki waliofurika kama nyuki.
Katika onyesho hilo busta alionesha uwezo mkuwa wa kuliteka jukwaa wakiwemo na hata mashabiki kwa kiasi kikubwa, mbali ya kamuzi hilo Busta ameisifu Tanzania na watu wake akisema ni watu wazuri wakarimu na kuongeza kuwa amefurahishwa sana na umati wa watu uliojitokeza kwenye tamasha la Fiesta One Love 2009.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...