Monday, November 02, 2009

sare mpya mgambo wa jiji Dar


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Willium Lukuvi (wapili kushoto) akikagua gwaride la heshima la Askari wa jiji wakati wa uzinduzi wa sare mpya za Mgambo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Venance Nestory

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...