Monday, November 02, 2009

sare mpya mgambo wa jiji Dar


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Willium Lukuvi (wapili kushoto) akikagua gwaride la heshima la Askari wa jiji wakati wa uzinduzi wa sare mpya za Mgambo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Venance Nestory

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...