Sunday, November 15, 2009

Spika Sitta Mkutanoni UN Marekani


Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta akiwa katika picha ya pamoja na balozi wa wa kudumu wa umoja wa mataifa toka Tanzania Dr. Augustine P. Mahiga mara baada ya kumtembelea ofisini kwake jana. Spika yupo marekani kuhuduria kikao cha kamati ya maandalizi ya kongamano la Maspika kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Umoja wa Mataifa na umoja wa Mabunge Duniani IPU mkutano unaofanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani.

Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta akihudhuria kikao cha kamati ya maandalizi ya kongamano la Maspika kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Umoja wa Mataifa na umoja wa Mabunge Duniani IPU katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York marekani jana. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge la Switzand Pascale Bruderer Na Spika wa Bunge la Africa Kusini Max Sisulu.



Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta akihudhuria kikao cha kamati ya maandalizi ya kongamano la Maspika kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Umoja wa Mataifa na umoja wa Mabunge Duniani IPU katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York marekani jana. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge la Switzand Mhe. Pascale Bruderer Na kulia ni Mbunge toka wa la Viet Nam Mhe. Ngo Quang Xuan

1 comment:

nesees said...

e0l12e2p63 p3d51u7g92 l7h66n6p54 s6y11p9z50 i5o01x8c86 i9a69v8q38