Tuesday, November 03, 2009

Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald


Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald akiwapungia mkono akiwa ndani ya gari lake lililosajiliwa kabisa baada ya kukabidhiwa jana na wadhamini wakuu wa mashindano ya Miss Tanzania, Kampuni ya Vodacom Tanzania na washirika wake wa huduma, Shivacom jana. Gari hilo lina thamani ya sh. 53.2 milioni. (Picha/Majuto Omary)

No comments:

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...