Tuesday, November 03, 2009

Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald


Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald akiwapungia mkono akiwa ndani ya gari lake lililosajiliwa kabisa baada ya kukabidhiwa jana na wadhamini wakuu wa mashindano ya Miss Tanzania, Kampuni ya Vodacom Tanzania na washirika wake wa huduma, Shivacom jana. Gari hilo lina thamani ya sh. 53.2 milioni. (Picha/Majuto Omary)

No comments:

UHUSIANO WA TANZANIA NA KOREA KUSINI WAZIDI KUIMARIKA

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba akiagana na Balozi wa Korea Kusini nchini Tanzania, Mhe. Eunje Ahn, baada ya ...