Tuesday, November 03, 2009

Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald


Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald akiwapungia mkono akiwa ndani ya gari lake lililosajiliwa kabisa baada ya kukabidhiwa jana na wadhamini wakuu wa mashindano ya Miss Tanzania, Kampuni ya Vodacom Tanzania na washirika wake wa huduma, Shivacom jana. Gari hilo lina thamani ya sh. 53.2 milioni. (Picha/Majuto Omary)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...