Sunday, November 15, 2009

Kwa wale wapenda ulabu tu











Hii imetokea huko Iran ambako Pombe ni kitu haramu! hii ni operation iliyofanyika mitaani ya kuharibu vitu vyote vya aina ya kilevi ilikufanya watu wasilewe. Jamani hapom mpo?Tukio hili limechangiwa sana na imani za KIDINI!!!!!!!

1 comment:

Anonymous said...

Ardhi ilikua chakali.Ukihisukumatu chini.

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...