Monday, November 16, 2009

Katikati ya jiji la Dar




Eneo hili lipo katikati ya Jiji la Dar es Salaam ni karibu sana pia na maeneo muhimu ya soko kuu kabidha la bidhaa nchini, lakini hebu cheki maji yanavyotitika h

1 comment:

Anonymous said...

Wenzenu wa Ulaya na USA, hawawaletei picha mbovu za kwao. Lakini ninyi mnajikita kutoa na kujitangaza vitu vyenu vibovu ambavyo ni aibu kwenu wenyewe.

Mnamwonyesha nani kama sio kujiaibisha wenyewe? Local News Paper za Tanzania, zipo tele kwa kuifanya kazi hii, ili kuwashtua viongozi wahusika wa Tanzania.

Sasa ninyi siku hizi mmechukua nafasi ya magazeti hayo? Uandishi wa habari sio kila mtu aufanye!!!

It's Great To Be Black=Blackmannen

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΊπŸ‡¬ DIPLOMASIA NA USHIRIKIANO WA TANZANIA–UGANDA WAZIDI KUIMARIKA

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili katika Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam leo, tarehe 06 Agosti 2026, ...