Monday, November 16, 2009

Katikati ya jiji la Dar




Eneo hili lipo katikati ya Jiji la Dar es Salaam ni karibu sana pia na maeneo muhimu ya soko kuu kabidha la bidhaa nchini, lakini hebu cheki maji yanavyotitika h

1 comment:

Anonymous said...

Wenzenu wa Ulaya na USA, hawawaletei picha mbovu za kwao. Lakini ninyi mnajikita kutoa na kujitangaza vitu vyenu vibovu ambavyo ni aibu kwenu wenyewe.

Mnamwonyesha nani kama sio kujiaibisha wenyewe? Local News Paper za Tanzania, zipo tele kwa kuifanya kazi hii, ili kuwashtua viongozi wahusika wa Tanzania.

Sasa ninyi siku hizi mmechukua nafasi ya magazeti hayo? Uandishi wa habari sio kila mtu aufanye!!!

It's Great To Be Black=Blackmannen

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...