Tuesday, November 03, 2009

Sitta na Hosea uso kwa uso


Mkurugenzi Mkuu wa PCCB, Dr. Edward Hosea, amemtembelea Spika wa Jamhuri ya muungano Mh. Samuel Sitta Bungeni leo Dodoma. Pichani Spika akimkaribisha Hosea mara baada ya kuwasili ofisi za Bunge. Kulia ni Mheshimwia Nyalandu

No comments:

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...