Tuesday, November 10, 2009

Rais Jakaya Kikwete afanya mazungumzo na Mubarak wa Misri


Rais jakaya Kikwete akizungumza na rais wa Misri, Hosni Mubarak katika makazi ya rais huyo mjini Cairo juzi. Rais Kikwete yupo nchini Misri kuhudhuria mkutano wa 4 wa ushirikiano baina ya Afrika na China. Picha ya Ikulu

No comments:

SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

  Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. James Kilabuko. Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti...