Tuesday, November 10, 2009

Rais Jakaya Kikwete afanya mazungumzo na Mubarak wa Misri


Rais jakaya Kikwete akizungumza na rais wa Misri, Hosni Mubarak katika makazi ya rais huyo mjini Cairo juzi. Rais Kikwete yupo nchini Misri kuhudhuria mkutano wa 4 wa ushirikiano baina ya Afrika na China. Picha ya Ikulu

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...