
Rais jakaya Kikwete akizungumza na rais wa Misri, Hosni Mubarak katika makazi ya rais huyo mjini Cairo juzi. Rais Kikwete yupo nchini Misri kuhudhuria mkutano wa 4 wa ushirikiano baina ya Afrika na China. Picha ya Ikulu
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2030 (Ag...
No comments:
Post a Comment