Tuesday, November 10, 2009

Rais Jakaya Kikwete afanya mazungumzo na Mubarak wa Misri


Rais jakaya Kikwete akizungumza na rais wa Misri, Hosni Mubarak katika makazi ya rais huyo mjini Cairo juzi. Rais Kikwete yupo nchini Misri kuhudhuria mkutano wa 4 wa ushirikiano baina ya Afrika na China. Picha ya Ikulu

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...