Tuesday, November 10, 2009

Waziri Mkuu Pinda Kilimo Kwanza


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama embe wakati alipotembelea Bustani ya Jeshi la Kujenga Taifa ( JKT) kwenye viwanja vya Nanenane Mjini Morogoro jana. Alikuwa safarini kwenda Dar es salaam akitoka Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...