Tuesday, November 10, 2009

Waziri Mkuu Pinda Kilimo Kwanza


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama embe wakati alipotembelea Bustani ya Jeshi la Kujenga Taifa ( JKT) kwenye viwanja vya Nanenane Mjini Morogoro jana. Alikuwa safarini kwenda Dar es salaam akitoka Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...