Tuesday, November 10, 2009

Waziri Mkuu Pinda Kilimo Kwanza


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama embe wakati alipotembelea Bustani ya Jeshi la Kujenga Taifa ( JKT) kwenye viwanja vya Nanenane Mjini Morogoro jana. Alikuwa safarini kwenda Dar es salaam akitoka Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

  Leo Tarehe 29 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Said Shaib Mussa am...