Tuesday, November 10, 2009

Waziri Mkuu Pinda Kilimo Kwanza


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama embe wakati alipotembelea Bustani ya Jeshi la Kujenga Taifa ( JKT) kwenye viwanja vya Nanenane Mjini Morogoro jana. Alikuwa safarini kwenda Dar es salaam akitoka Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...