TAMKO LA MUWAZA KUHUSU KUKUTANA KWA :
RAIS AMANI ABEID KARUME NA MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD
MUWAZA UMEFURAHISHWA KWA MSIMAMO WA VIONGOZI HAO WAWILI NA KUPONGEZA KWAO:
KUTETEA MUSTAKBAL WA ZANZIBAR
KUWAUNGANISHA WAZANZIBARI WAWE KITU KIMOJA
KUONDOSHA UHASAMA BAINA YA WAZANZIBARI
KUWASHAJIISHA WAZANZIBARI KWA PAMOJA KULETA MANDELEO ZANZIBAR
MUWAZA INAUNGA MKONO KWA KUTETEWA KWA NCHI, TAIFA NA DOLA LA ZANZIBAR
KUTETEWA MASLAHI YA KIUCHUMI YAKIWEMO MAFUTA YA ZANZIBAR
KULETA MAENDELEO YA KIJAMII - SIHA, ELIMU NA UTAMADUNI WA ZANZIBAR
KUTETEA HAKI ZA KIDEMOKRASIA BILA YA KUJALI ITIKADI PAMOJA NA KURUHUSU KILA MZANZIBARI KUWA NA UHURU WA KUPIGA KURA
KUTETEA MIHIMILI HALALI YA UTAWALA YA ZANZIBAR
KUREJESHA CHEO CHA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR
KUREJESHA MAMBO ASILI KUMI NA MOJA YA MUUNGANO NA HATIMAE KUYAJADILI UPYA
KULIPA BARAZA LA WAWAKILISHI HESHIMA SAWA NA BUNGE LA MUUNGANO.
Dr. Yussuf s. Salim Mwenyekiti wa Muda
Copenhagen Denmark
yussuf_salim@hotmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment