TAMKO LA MUWAZA KUHUSU KUKUTANA KWA :
RAIS AMANI ABEID KARUME NA MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD
MUWAZA UMEFURAHISHWA KWA MSIMAMO WA VIONGOZI HAO WAWILI NA KUPONGEZA KWAO:
KUTETEA MUSTAKBAL WA ZANZIBAR
KUWAUNGANISHA WAZANZIBARI WAWE KITU KIMOJA
KUONDOSHA UHASAMA BAINA YA WAZANZIBARI
KUWASHAJIISHA WAZANZIBARI KWA PAMOJA KULETA MANDELEO ZANZIBAR
MUWAZA INAUNGA MKONO KWA KUTETEWA KWA NCHI, TAIFA NA DOLA LA ZANZIBAR
KUTETEWA MASLAHI YA KIUCHUMI YAKIWEMO MAFUTA YA ZANZIBAR
KULETA MAENDELEO YA KIJAMII - SIHA, ELIMU NA UTAMADUNI WA ZANZIBAR
KUTETEA HAKI ZA KIDEMOKRASIA BILA YA KUJALI ITIKADI PAMOJA NA KURUHUSU KILA MZANZIBARI KUWA NA UHURU WA KUPIGA KURA
KUTETEA MIHIMILI HALALI YA UTAWALA YA ZANZIBAR
KUREJESHA CHEO CHA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR
KUREJESHA MAMBO ASILI KUMI NA MOJA YA MUUNGANO NA HATIMAE KUYAJADILI UPYA
KULIPA BARAZA LA WAWAKILISHI HESHIMA SAWA NA BUNGE LA MUUNGANO.
Dr. Yussuf s. Salim Mwenyekiti wa Muda
Copenhagen Denmark
yussuf_salim@hotmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2030 (Ag...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment