TAMKO LA MUWAZA KUHUSU KUKUTANA KWA :
RAIS AMANI ABEID KARUME NA MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD
MUWAZA UMEFURAHISHWA KWA MSIMAMO WA VIONGOZI HAO WAWILI NA KUPONGEZA KWAO:
KUTETEA MUSTAKBAL WA ZANZIBAR
KUWAUNGANISHA WAZANZIBARI WAWE KITU KIMOJA
KUONDOSHA UHASAMA BAINA YA WAZANZIBARI
KUWASHAJIISHA WAZANZIBARI KWA PAMOJA KULETA MANDELEO ZANZIBAR
MUWAZA INAUNGA MKONO KWA KUTETEWA KWA NCHI, TAIFA NA DOLA LA ZANZIBAR
KUTETEWA MASLAHI YA KIUCHUMI YAKIWEMO MAFUTA YA ZANZIBAR
KULETA MAENDELEO YA KIJAMII - SIHA, ELIMU NA UTAMADUNI WA ZANZIBAR
KUTETEA HAKI ZA KIDEMOKRASIA BILA YA KUJALI ITIKADI PAMOJA NA KURUHUSU KILA MZANZIBARI KUWA NA UHURU WA KUPIGA KURA
KUTETEA MIHIMILI HALALI YA UTAWALA YA ZANZIBAR
KUREJESHA CHEO CHA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR
KUREJESHA MAMBO ASILI KUMI NA MOJA YA MUUNGANO NA HATIMAE KUYAJADILI UPYA
KULIPA BARAZA LA WAWAKILISHI HESHIMA SAWA NA BUNGE LA MUUNGANO.
Dr. Yussuf s. Salim Mwenyekiti wa Muda
Copenhagen Denmark
yussuf_salim@hotmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment