Monday, November 09, 2009

Baa la Njaa Dodoma



Mkazi wa Kijiji cha Msalato manispaa ya Dodoma, akiandaa shamba tayari kwa kupanda mtama baada ya mvua kidogo kuanza kunyesha katika Mkoa wa Dodoma baada ya miezi mingi ya ukame. wengine ni Vikongwe wa Kijiji cha Bwigiri wilaya ya Dodoma Vijijini, wakijisogeza kupata mgawo wao wa chakula.

No comments:

SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

  Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. James Kilabuko. Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti...