Monday, November 09, 2009

Baa la Njaa Dodoma



Mkazi wa Kijiji cha Msalato manispaa ya Dodoma, akiandaa shamba tayari kwa kupanda mtama baada ya mvua kidogo kuanza kunyesha katika Mkoa wa Dodoma baada ya miezi mingi ya ukame. wengine ni Vikongwe wa Kijiji cha Bwigiri wilaya ya Dodoma Vijijini, wakijisogeza kupata mgawo wao wa chakula.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...