Monday, November 09, 2009

Baa la Njaa Dodoma



Mkazi wa Kijiji cha Msalato manispaa ya Dodoma, akiandaa shamba tayari kwa kupanda mtama baada ya mvua kidogo kuanza kunyesha katika Mkoa wa Dodoma baada ya miezi mingi ya ukame. wengine ni Vikongwe wa Kijiji cha Bwigiri wilaya ya Dodoma Vijijini, wakijisogeza kupata mgawo wao wa chakula.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...