Monday, November 09, 2009

Baa la Njaa Dodoma



Mkazi wa Kijiji cha Msalato manispaa ya Dodoma, akiandaa shamba tayari kwa kupanda mtama baada ya mvua kidogo kuanza kunyesha katika Mkoa wa Dodoma baada ya miezi mingi ya ukame. wengine ni Vikongwe wa Kijiji cha Bwigiri wilaya ya Dodoma Vijijini, wakijisogeza kupata mgawo wao wa chakula.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...