


Eneo hili lipo katikati ya Jiji la Dar es Salaam ni karibu sana pia na maeneo muhimu ya soko kuu kabidha la bidhaa nchini, lakini hebu cheki maji yanavyotitika h
Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Simiyu, leo imeendesha zoezi la kugawa jumla ya hati miliki 216 kwa wananchi wa Wilaya ya Maswa....
1 comment:
Wenzenu wa Ulaya na USA, hawawaletei picha mbovu za kwao. Lakini ninyi mnajikita kutoa na kujitangaza vitu vyenu vibovu ambavyo ni aibu kwenu wenyewe.
Mnamwonyesha nani kama sio kujiaibisha wenyewe? Local News Paper za Tanzania, zipo tele kwa kuifanya kazi hii, ili kuwashtua viongozi wahusika wa Tanzania.
Sasa ninyi siku hizi mmechukua nafasi ya magazeti hayo? Uandishi wa habari sio kila mtu aufanye!!!
It's Great To Be Black=Blackmannen
Post a Comment