Monday, July 13, 2009

Irene Uwoya mambo safiii



Hamad Ndikumata akitia saini shahada ya ndoa huku bibie Irene Uwoya akishuhudia kwa makini mkubwa

2 comments:

mama hansel said...

nimependa gauni ya bibi harusi,ila bwana harusi na mahereni mhhh,hapo sija fagalia imekaa vibaya

Anonymous said...

hahahahahahaha ahsante saana mama Hansel afadhali umemuona huyo jamaa hii ni tabia mbaya saana inayochipukia katika jamii yetu ingawa wenyewe vijana wanafagilia miye naona kama ni tabia ya kisenge.

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...