Friday, July 31, 2009

Mzee wa Mshitu ndani ya Bunge






Mzee wa Mshitu (mwenye suti jeusi) akisalimiana na Mheshimiwa Spika Samuel Sitta, pia waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi , John Pombe Magufuli katika viwanja vya Bunge, alipotembelea taasisi hiyo Jumatatu wiki hii. Wengine wanaoangalia ni Kisima Cha Fikra (mwenye suti ya kahawia) na Bakari Machumu, Mhariri Mtendaji wa The Citizen (tall). (picha na Jube Tranquilino)

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...