Friday, July 31, 2009

Mzee wa Mshitu ndani ya Bunge






Mzee wa Mshitu (mwenye suti jeusi) akisalimiana na Mheshimiwa Spika Samuel Sitta, pia waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi , John Pombe Magufuli katika viwanja vya Bunge, alipotembelea taasisi hiyo Jumatatu wiki hii. Wengine wanaoangalia ni Kisima Cha Fikra (mwenye suti ya kahawia) na Bakari Machumu, Mhariri Mtendaji wa The Citizen (tall). (picha na Jube Tranquilino)

No comments:

Kiwanda cha Tansalt Tanga, Mwarobaini wa Soko la Madini ya Chumvi Nchini

  ☑️ Kiwanda kina uwezo wa kuzalisha tani 5 hadi 8 kwa saa. 📍 Tanga Kiwanda cha Tansalt kilichopo mkoani Tanga kimekuwa msaada mkubwa kwa w...