Friday, July 31, 2009

Mzee wa Mshitu ndani ya Bunge






Mzee wa Mshitu (mwenye suti jeusi) akisalimiana na Mheshimiwa Spika Samuel Sitta, pia waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi , John Pombe Magufuli katika viwanja vya Bunge, alipotembelea taasisi hiyo Jumatatu wiki hii. Wengine wanaoangalia ni Kisima Cha Fikra (mwenye suti ya kahawia) na Bakari Machumu, Mhariri Mtendaji wa The Citizen (tall). (picha na Jube Tranquilino)

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...