Friday, July 31, 2009

Mzee wa Mshitu ndani ya Bunge






Mzee wa Mshitu (mwenye suti jeusi) akisalimiana na Mheshimiwa Spika Samuel Sitta, pia waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi , John Pombe Magufuli katika viwanja vya Bunge, alipotembelea taasisi hiyo Jumatatu wiki hii. Wengine wanaoangalia ni Kisima Cha Fikra (mwenye suti ya kahawia) na Bakari Machumu, Mhariri Mtendaji wa The Citizen (tall). (picha na Jube Tranquilino)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...