Sunday, July 05, 2009

Foleni Ndefu


Baadhi ya wakazi wa mjini Biharamulo wakiwa katika foleni ya kwenda kupiga kura ya kumchagua mbuge wa Jimbo la Biharamulo Mgharibi kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika katika kituo cha Shule ya Msingi Umoja Mjini Biharamulo Mkoani Kagera jana wa kutafuta mirithi wa kiti hicho kilichoachwa wazi na Marehemu, Phares Kabyeu. Picha na Salhim Shao

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...