Sunday, July 05, 2009

Foleni Ndefu


Baadhi ya wakazi wa mjini Biharamulo wakiwa katika foleni ya kwenda kupiga kura ya kumchagua mbuge wa Jimbo la Biharamulo Mgharibi kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika katika kituo cha Shule ya Msingi Umoja Mjini Biharamulo Mkoani Kagera jana wa kutafuta mirithi wa kiti hicho kilichoachwa wazi na Marehemu, Phares Kabyeu. Picha na Salhim Shao

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...