Baadhi ya wakazi wa mjini Biharamulo wakiwa katika foleni ya kwenda kupiga kura ya kumchagua mbuge wa Jimbo la Biharamulo Mgharibi kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika katika kituo cha Shule ya Msingi Umoja Mjini Biharamulo Mkoani Kagera jana wa kutafuta mirithi wa kiti hicho kilichoachwa wazi na Marehemu, Phares Kabyeu. Picha na Salhim Shao
Sunday, July 05, 2009
Foleni Ndefu
Baadhi ya wakazi wa mjini Biharamulo wakiwa katika foleni ya kwenda kupiga kura ya kumchagua mbuge wa Jimbo la Biharamulo Mgharibi kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika katika kituo cha Shule ya Msingi Umoja Mjini Biharamulo Mkoani Kagera jana wa kutafuta mirithi wa kiti hicho kilichoachwa wazi na Marehemu, Phares Kabyeu. Picha na Salhim Shao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment