Tuesday, July 21, 2009

ONYESHO LA USIKU WA KANGA DODOMA!!





Onyesho lao la mavazi lililofanyika kwenye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma Julai 17, onyesho hilo lilipambwa na bendi ya Kalunde inayoongozwa na mwanamuziki Deo Mwanambilimbi huku wabunifu kadhaa wakishiriki kuonyesha nguo zao, wabunifu hao ni Asia Idarous mwenyewe, Gymkana na Grace Matovolwa na Mbunifu Gymakana (Paka Wear), hakika show ilikuwa ya nguvu watu kibao, waheshimiwa kibao walikuwapo

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...