Onyesho lao la mavazi lililofanyika kwenye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma Julai 17, onyesho hilo lilipambwa na bendi ya Kalunde inayoongozwa na mwanamuziki Deo Mwanambilimbi huku wabunifu kadhaa wakishiriki kuonyesha nguo zao, wabunifu hao ni Asia Idarous mwenyewe, Gymkana na Grace Matovolwa na Mbunifu Gymakana (Paka Wear), hakika show ilikuwa ya nguvu watu kibao, waheshimiwa kibao walikuwapo
Tuesday, July 21, 2009
ONYESHO LA USIKU WA KANGA DODOMA!!
Onyesho lao la mavazi lililofanyika kwenye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma Julai 17, onyesho hilo lilipambwa na bendi ya Kalunde inayoongozwa na mwanamuziki Deo Mwanambilimbi huku wabunifu kadhaa wakishiriki kuonyesha nguo zao, wabunifu hao ni Asia Idarous mwenyewe, Gymkana na Grace Matovolwa na Mbunifu Gymakana (Paka Wear), hakika show ilikuwa ya nguvu watu kibao, waheshimiwa kibao walikuwapo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment