Tuesday, July 21, 2009

ONYESHO LA USIKU WA KANGA DODOMA!!





Onyesho lao la mavazi lililofanyika kwenye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma Julai 17, onyesho hilo lilipambwa na bendi ya Kalunde inayoongozwa na mwanamuziki Deo Mwanambilimbi huku wabunifu kadhaa wakishiriki kuonyesha nguo zao, wabunifu hao ni Asia Idarous mwenyewe, Gymkana na Grace Matovolwa na Mbunifu Gymakana (Paka Wear), hakika show ilikuwa ya nguvu watu kibao, waheshimiwa kibao walikuwapo

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...