Onyesho lao la mavazi lililofanyika kwenye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma Julai 17, onyesho hilo lilipambwa na bendi ya Kalunde inayoongozwa na mwanamuziki Deo Mwanambilimbi huku wabunifu kadhaa wakishiriki kuonyesha nguo zao, wabunifu hao ni Asia Idarous mwenyewe, Gymkana na Grace Matovolwa na Mbunifu Gymakana (Paka Wear), hakika show ilikuwa ya nguvu watu kibao, waheshimiwa kibao walikuwapo
Tuesday, July 21, 2009
ONYESHO LA USIKU WA KANGA DODOMA!!
Onyesho lao la mavazi lililofanyika kwenye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma Julai 17, onyesho hilo lilipambwa na bendi ya Kalunde inayoongozwa na mwanamuziki Deo Mwanambilimbi huku wabunifu kadhaa wakishiriki kuonyesha nguo zao, wabunifu hao ni Asia Idarous mwenyewe, Gymkana na Grace Matovolwa na Mbunifu Gymakana (Paka Wear), hakika show ilikuwa ya nguvu watu kibao, waheshimiwa kibao walikuwapo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment