Wednesday, July 15, 2009

Daftari la Kudumu la Wapiga kura

Rais wa Usalama Barabarani akiwa katika kituo cha kuandikisha wapiga kura skuli ya Wingwi kusimamia zoezi hilo la uandikishaji. Licha ya hali kuwa shwari, kuna askari wengi wa vikosi vya usalama na ulinzi katika maeneo ya vituo vya uandikishaji wakiwemo hata askari wa barabarani kama alivyoonekana huyu jana Julai.

Wazee wakiwa wamejipanga chini kusubiri zamu zao za kuandikishwa katika daftari la kudumu la wapiga kura kwenye kituo cha skuli ya Wingwi, wilaya ya Micheweni Pemba leo. Picha kutoka kwa salim said, Pemba

No comments:

PROF. SHEMDOE AWAASA WANAFUNZI KUENDELEZA VIPAJI VYAO VYA MICHEZO, SANAA

• Awataka kuwa na nidhamu na kusoma kwa bidii Na OWM - TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali ...