Monday, July 13, 2009

Mitaa ya Mbauda



Mambo ya Arusha hayo hebu cheki wakazi wa vitongoji vya Mbauda, Mianzini na Sanawari wakipata shule kuhusu namna ya kupanga uzazi iliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali linalotoa Elimu ya Afya kwa jamii nchini (PSI-Tanzania), Shirika hilo la kimataifa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii linaendesha programu ya matumizi ya uzazi wa mpango. Picha kwa hisani ya PSI.

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...