Monday, July 13, 2009

Mitaa ya Mbauda



Mambo ya Arusha hayo hebu cheki wakazi wa vitongoji vya Mbauda, Mianzini na Sanawari wakipata shule kuhusu namna ya kupanga uzazi iliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali linalotoa Elimu ya Afya kwa jamii nchini (PSI-Tanzania), Shirika hilo la kimataifa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii linaendesha programu ya matumizi ya uzazi wa mpango. Picha kwa hisani ya PSI.

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...