Monday, July 13, 2009

Mitaa ya Mbauda



Mambo ya Arusha hayo hebu cheki wakazi wa vitongoji vya Mbauda, Mianzini na Sanawari wakipata shule kuhusu namna ya kupanga uzazi iliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali linalotoa Elimu ya Afya kwa jamii nchini (PSI-Tanzania), Shirika hilo la kimataifa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii linaendesha programu ya matumizi ya uzazi wa mpango. Picha kwa hisani ya PSI.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...