Sunday, July 05, 2009

Serena bingwa wimbledon 2009




Serena williams amejinyakulia ushindi wa kombe la Wimbledon mwaka huu. Serena alikuwa akichuana na dada yake Venus Williams na bingwa mtetezi wa kombe hilo amemtoa dadayake kwa seti mfululizo 7-6, na 6-2. hii inafanya jumla ya Grand slams 11ambazo Serena amesha shinda hadi hivi sasa. Venus ana Gland slams 7. Hongereni sasa Venus na Serena.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...