Sunday, July 05, 2009

Serena bingwa wimbledon 2009




Serena williams amejinyakulia ushindi wa kombe la Wimbledon mwaka huu. Serena alikuwa akichuana na dada yake Venus Williams na bingwa mtetezi wa kombe hilo amemtoa dadayake kwa seti mfululizo 7-6, na 6-2. hii inafanya jumla ya Grand slams 11ambazo Serena amesha shinda hadi hivi sasa. Venus ana Gland slams 7. Hongereni sasa Venus na Serena.

No comments:

Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...