Monday, July 13, 2009

Daftari la kudumu la wapiga kura


Akinamama wa Wingwi wasioona wakiwa katika hali ya kukata tamaa baada ya kufukuzwa kutoka kituo cha kuandikisha kura huko mitaa ya Wingwi baada ya kukosa vitambulisho vya Mzanzibari Mkazi. Picha ya Salim Said.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...