Monday, July 06, 2009

Kigamboni ya leo




Kijijini kwetu huku Kigamboni mambo yetu ni shega tuu yaani kila mmoja na mambo yake kila mmoja na kibanda chake cha kujificha hebu cheki mbavu hizo ambazo nyinyi mnaziita mbavu za mbwa kwetu sisi hizi ni sawa na matofali tuu hali ya hewa ndani ya nyumba zetu hizi ni coool sana kisha ukiona maji tunayokunywa utasema nini sijui hebu cheki katika picha maji ya kufa mtu hahahahahaha ilimradi maisha ni kama kawa. Picha ni ya mdau.

2 comments:

shough said...

www.dolabuy.ru replica bags from china Chloe Dolabuy replica bags toronto this hyperlink replica bags philippines

thela said...

r2e30n8y23 q9k72e3l56 e6q16r8m90 v1a86i3f48 d6k65s8p33 x4r60s3p60

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...