Sunday, July 19, 2009

Jua kupatwa keshokutwa


wataalamu wanatuambua jua litapatwa mnamo julai 22 mwaka huu ambapo kuna sehemu mbalimbali duniani watashuhudia kupatwa kamili kwa jua. wadau mlio maeneo hayo tunasibiri taswira. maeneo yanayotabiriwa kuwa na kupatwa kamili kwa jua ni India, Nepal, Bangladesh, Bhutan, Myanmar, China, Japan na juu ya Kiribati. Vile vile sehemu za Marshall islands katika bahari ya Pacific.
Sehemu zingine ni Surat, Varanasi, and Patna in India, Thimphu huko Bhutan, Chengdu, Chongqing, Wuhan, Hangzhou na Shanghai huko China. Nchi karibu zote za Kusini Mashariki mwa Asia na visiwa kibao vya bahari ya Pacific. Visiwa vya Iwo Jima Kaskazini ndiko inasemekana wataona kupatwa kwa jua kwa muda mrefu kuliko sehemu nyingine.

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...