Thursday, July 23, 2009

Hatimaye Mkonga wazinduliwa rasmi


Rais Jakaya Kikwete akizindua rasmi Mkongo wa Kimataifa mawasiliano uliopita chini ya bahari uliowekwa na kampuni ya Seacom Dar es Salaam leo hii ambao utatuunganisha na dunia kimawasiliano kwa urahisi na gharama nafuu zaidi.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...