Thursday, July 23, 2009

Hatimaye Mkonga wazinduliwa rasmi


Rais Jakaya Kikwete akizindua rasmi Mkongo wa Kimataifa mawasiliano uliopita chini ya bahari uliowekwa na kampuni ya Seacom Dar es Salaam leo hii ambao utatuunganisha na dunia kimawasiliano kwa urahisi na gharama nafuu zaidi.

No comments:

Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...