Monday, July 13, 2009

Irene Uwoya mambo safiii



Hamad Ndikumata akitia saini shahada ya ndoa huku bibie Irene Uwoya akishuhudia kwa makini mkubwa

2 comments:

mama hansel said...

nimependa gauni ya bibi harusi,ila bwana harusi na mahereni mhhh,hapo sija fagalia imekaa vibaya

Anonymous said...

hahahahahahaha ahsante saana mama Hansel afadhali umemuona huyo jamaa hii ni tabia mbaya saana inayochipukia katika jamii yetu ingawa wenyewe vijana wanafagilia miye naona kama ni tabia ya kisenge.

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...