Monday, July 13, 2009

Irene Uwoya mambo safiii



Hamad Ndikumata akitia saini shahada ya ndoa huku bibie Irene Uwoya akishuhudia kwa makini mkubwa

2 comments:

mama hansel said...

nimependa gauni ya bibi harusi,ila bwana harusi na mahereni mhhh,hapo sija fagalia imekaa vibaya

Anonymous said...

hahahahahahaha ahsante saana mama Hansel afadhali umemuona huyo jamaa hii ni tabia mbaya saana inayochipukia katika jamii yetu ingawa wenyewe vijana wanafagilia miye naona kama ni tabia ya kisenge.

Kiwanda cha Tansalt Tanga, Mwarobaini wa Soko la Madini ya Chumvi Nchini

  ☑️ Kiwanda kina uwezo wa kuzalisha tani 5 hadi 8 kwa saa. 📍 Tanga Kiwanda cha Tansalt kilichopo mkoani Tanga kimekuwa msaada mkubwa kwa w...