Wednesday, July 22, 2009

Some shots from Bagamoyo



Mambo ya Bwagamoyo haya hapa wanaonekana vijana wa "YOMnet" wakiwa mitaa ya Bwagamoyo baada ya kupata somo kali hivi karibuni, jengo kwa upande mwingine ni mojawapo ya maboma yaliyopo wilayani humo. Wilaya hii ni wilaya tajiri mno kwa utalii ingawa kuna mambo kadhaa yanaikwamisha kuendelea katika kiwango kinachostahili. Picha za Yomnet.

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...