Wednesday, July 22, 2009

Some shots from Bagamoyo



Mambo ya Bwagamoyo haya hapa wanaonekana vijana wa "YOMnet" wakiwa mitaa ya Bwagamoyo baada ya kupata somo kali hivi karibuni, jengo kwa upande mwingine ni mojawapo ya maboma yaliyopo wilayani humo. Wilaya hii ni wilaya tajiri mno kwa utalii ingawa kuna mambo kadhaa yanaikwamisha kuendelea katika kiwango kinachostahili. Picha za Yomnet.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...