Wednesday, July 22, 2009

Some shots from Bagamoyo



Mambo ya Bwagamoyo haya hapa wanaonekana vijana wa "YOMnet" wakiwa mitaa ya Bwagamoyo baada ya kupata somo kali hivi karibuni, jengo kwa upande mwingine ni mojawapo ya maboma yaliyopo wilayani humo. Wilaya hii ni wilaya tajiri mno kwa utalii ingawa kuna mambo kadhaa yanaikwamisha kuendelea katika kiwango kinachostahili. Picha za Yomnet.

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...