Wednesday, July 22, 2009

Some shots from Bagamoyo



Mambo ya Bwagamoyo haya hapa wanaonekana vijana wa "YOMnet" wakiwa mitaa ya Bwagamoyo baada ya kupata somo kali hivi karibuni, jengo kwa upande mwingine ni mojawapo ya maboma yaliyopo wilayani humo. Wilaya hii ni wilaya tajiri mno kwa utalii ingawa kuna mambo kadhaa yanaikwamisha kuendelea katika kiwango kinachostahili. Picha za Yomnet.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...