Wednesday, July 01, 2009

Umeme Zenji nomaaa



Watoto Said na Mwanakhamis Vuai wakijisomea nyumnbani kwao Umpendae jijini Zanzibar juzi usiku huku akitumia mshumaa kutokana na matatizo ya umeme yaliyokumba mji wa Zanzibar.pembeni yake ni Mamayake Kijakazi Mohamed Hassan. (Picha na Mpoki Bukuku)

No comments:

MTUHUMIWA WA “KUFUTA MADENI” YA MIKOPO AKIRI KOSA, AHUKUMIWA KIGOMA

KIGOMA, Septemba 4, 2026 — Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu Nicholaus Komba Mahitana maarufu kama Abdallah Mahimbo baad...