Wednesday, July 22, 2009

Spika akiwa majuu


Spika Sitta akiwa kwenye picha ya pamoja na Kamati Maalum ya maspika wa Jumuiya ya Mabunge duniani (IPU) iliyofanya mkutano wake mjini Geneva tarehe 16 hadi 17 Julai 2009 ili kufanya maandalizi ya mkutano wa maspika wa dunia utakaofanyika Geneva mwaka 2010. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...