Wednesday, July 22, 2009

Spika akiwa majuu


Spika Sitta akiwa kwenye picha ya pamoja na Kamati Maalum ya maspika wa Jumuiya ya Mabunge duniani (IPU) iliyofanya mkutano wake mjini Geneva tarehe 16 hadi 17 Julai 2009 ili kufanya maandalizi ya mkutano wa maspika wa dunia utakaofanyika Geneva mwaka 2010. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...