Wednesday, July 22, 2009

Spika akiwa majuu


Spika Sitta akiwa kwenye picha ya pamoja na Kamati Maalum ya maspika wa Jumuiya ya Mabunge duniani (IPU) iliyofanya mkutano wake mjini Geneva tarehe 16 hadi 17 Julai 2009 ili kufanya maandalizi ya mkutano wa maspika wa dunia utakaofanyika Geneva mwaka 2010. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...