Wednesday, July 22, 2009

Spika akiwa majuu


Spika Sitta akiwa kwenye picha ya pamoja na Kamati Maalum ya maspika wa Jumuiya ya Mabunge duniani (IPU) iliyofanya mkutano wake mjini Geneva tarehe 16 hadi 17 Julai 2009 ili kufanya maandalizi ya mkutano wa maspika wa dunia utakaofanyika Geneva mwaka 2010. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...