Friday, July 10, 2009

Morogoro leo




Mfanyabiashara wa kuuza machungwa katika Manispaa ya Morogoro akitayarisha machungwa kwa kumenya maganda huku mteja akirufuhaia kula tunda hilo katika eneo la uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Mchuuzi wa kuuza nguo za mitumba mjini Morogoro akifurahia jambo huku mteja wake wakati akichagua nguo hicho alizoweka katika beka jirani na stendi ya daladala mjini hapa. (Picha na Juma Mtanda.

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...