Tuesday, April 21, 2009

Sagula sagula Kariakoo



Kila mmoja katika jiji hili la maraha la Dar es salaam yuko bize na jambo lake, wapo wanakula raha kama vile wanaishi jijini New York, lakini wapo wengine wanaishi kama vile wapo Soweto ili mradi ni balaa tupu, hebu cheki hapa wabongo wanasagula sagula Kariakoo huku wengine wakitaabika na bidhaa zao juani.

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...