Mzee wa Mshitu
Wednesday, April 29, 2009
Breaking News: Mabomu yalipuka Dar
Habari zilizotufikia hivi sasa zinasema kuwa nyumba kadhaa zimeungua moto, mtu mmoja kufa na wengine kibao kujeruhiwa kutokana na mlipuko mkubwa wa mabomu umetokea katika jiji la Dar es salaam katika eneo la jeshi Mbagala Kizuiani.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment