Friday, April 03, 2009

Flaviana Matata atua nchini Japan


Miss Universe Tanzania 2007 Flaviana Matata ametua nchini japan kwa mwaliko Rasmi wa Kampuni kubwa ya kuuza magari ya Wilna International akitokea nchini South Africa ambako anafanya kazi za ulimbwende.,kimwana Flaviana matata yupo hapa Japan kwa mazoezi kabla ya kusaini Mkataba wa nguvu na kampuni ya Kimataifa ya Junes Modeling Agency iliyoko Ropongi Nishi Azabu.
Kwa taarifa zaidi za kina hebu
soma hapa

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...