Friday, April 03, 2009

Flaviana Matata atua nchini Japan


Miss Universe Tanzania 2007 Flaviana Matata ametua nchini japan kwa mwaliko Rasmi wa Kampuni kubwa ya kuuza magari ya Wilna International akitokea nchini South Africa ambako anafanya kazi za ulimbwende.,kimwana Flaviana matata yupo hapa Japan kwa mazoezi kabla ya kusaini Mkataba wa nguvu na kampuni ya Kimataifa ya Junes Modeling Agency iliyoko Ropongi Nishi Azabu.
Kwa taarifa zaidi za kina hebu
soma hapa

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...