Thursday, April 16, 2009

Mambo ya mugongo mugongo










































Heee mambo ya Twangazzz hebu cheki walivyokuwa wakijituma hivi majuzi katika viwanja vya michezo vya eneo la Mkuza wilayani Kibaha katika mojawapo ya harakati za mashindano ya netiball taifa, aisee hawa jamaa wamekamata anga za muziki ile mbaya, hawana muchezo ni mugongo mugongo tu.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...