Thursday, April 16, 2009

Mambo ya mugongo mugongo










































Heee mambo ya Twangazzz hebu cheki walivyokuwa wakijituma hivi majuzi katika viwanja vya michezo vya eneo la Mkuza wilayani Kibaha katika mojawapo ya harakati za mashindano ya netiball taifa, aisee hawa jamaa wamekamata anga za muziki ile mbaya, hawana muchezo ni mugongo mugongo tu.

No comments:

WAZIRI MKUU AWATAKA MABALOZI KUISHI FALSAFA ZA RAIS DKT. SAMIA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuz...