Thursday, April 16, 2009

Mambo ya mugongo mugongo










































Heee mambo ya Twangazzz hebu cheki walivyokuwa wakijituma hivi majuzi katika viwanja vya michezo vya eneo la Mkuza wilayani Kibaha katika mojawapo ya harakati za mashindano ya netiball taifa, aisee hawa jamaa wamekamata anga za muziki ile mbaya, hawana muchezo ni mugongo mugongo tu.

No comments:

Makamu wa Rais Aongoza Salamu za Rambirambi kwa Kifo cha Jenista Mhagama, Ataja Taifa Kupata Pengo Kubwa

  #RIPJenistaMhagama #Tanzania #Ruvuma #Uongozi Dodoma – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nch...