Tuesday, April 21, 2009

Sagula sagula Kariakoo



Kila mmoja katika jiji hili la maraha la Dar es salaam yuko bize na jambo lake, wapo wanakula raha kama vile wanaishi jijini New York, lakini wapo wengine wanaishi kama vile wapo Soweto ili mradi ni balaa tupu, hebu cheki hapa wabongo wanasagula sagula Kariakoo huku wengine wakitaabika na bidhaa zao juani.

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...