Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Jaji Eusebia Nicholas Munuo kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Ikulu Dar es salaam leo kufuatia kuondoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Agostino Ramadhani ambae yupo Nje ya Nchi kikazi. Katikati ni Katibu Mkuu Utumishi George Yambesi
Friday, April 17, 2009
Kaimu Jaji Mkuu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Jaji Eusebia Nicholas Munuo kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Ikulu Dar es salaam leo kufuatia kuondoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Agostino Ramadhani ambae yupo Nje ya Nchi kikazi. Katikati ni Katibu Mkuu Utumishi George Yambesi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao mu...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment