Friday, April 17, 2009

Kaimu Jaji Mkuu


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Jaji Eusebia Nicholas Munuo kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Ikulu Dar es salaam leo kufuatia kuondoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Agostino Ramadhani ambae yupo Nje ya Nchi kikazi. Katikati ni Katibu Mkuu Utumishi George Yambesi

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...