Wednesday, April 08, 2009

Maadhimisho kumkumbuka mzee Karume



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete katikati Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein wa pili kushoto, Rais wa Zanzibar Aman Karume kulia, wakiongoza Wananchi wa Zanzibar katika Dua ya pamoja mbele ya kaburi la aliyekuwa Muasisi na Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.

No comments:

MSAJILI HAZINA ASHIRIKI UZINDUZI UJENZI MGODI WA MADINI KINYWE

  Na Mwandishi wa OMH Mahenge, Morogoro. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ameshiriki uzinduzi wa shughuli za ujenzi wa mgodi wa madi...