Wednesday, April 08, 2009

Maadhimisho kumkumbuka mzee Karume



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete katikati Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein wa pili kushoto, Rais wa Zanzibar Aman Karume kulia, wakiongoza Wananchi wa Zanzibar katika Dua ya pamoja mbele ya kaburi la aliyekuwa Muasisi na Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.

No comments:

BUNGE LAMTHIBITISHA NDEJEMBI KWA ASILIMIA 100 UMAKAMU WA RAIS.

Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais. BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Ag...