Wednesday, April 08, 2009

Maadhimisho kumkumbuka mzee Karume



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete katikati Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein wa pili kushoto, Rais wa Zanzibar Aman Karume kulia, wakiongoza Wananchi wa Zanzibar katika Dua ya pamoja mbele ya kaburi la aliyekuwa Muasisi na Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...