Wednesday, April 08, 2009

Maadhimisho kumkumbuka mzee Karume



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete katikati Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein wa pili kushoto, Rais wa Zanzibar Aman Karume kulia, wakiongoza Wananchi wa Zanzibar katika Dua ya pamoja mbele ya kaburi la aliyekuwa Muasisi na Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...