Monday, April 27, 2009

Mzee wa sumo apata ajali



MZEE wa Sumo kapata ajali akiwa njiani akirejea jijini Dar alikwenda huko katik maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo msanii Yvone Machaka alikuwa mgeni mkubwa huko, ama kwa hakika ajali hiyo haikuwa ya kawaida lakini bahatai njema mzee wa sumo amesevu na anadunda kama kawa na unaweza kumpata kwa kumcheki hapa
katika mtandao wake gari yake ilibiringika mara kadhaa!!!! Kikubwa ni kwamba bado nipo hajafa na yupo mjini Lindi. lakini mchuma tuliokuwa tunasafiria ndio kwisha kazi!!!

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...