Monday, April 27, 2009

Mzee wa sumo apata ajali



MZEE wa Sumo kapata ajali akiwa njiani akirejea jijini Dar alikwenda huko katik maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo msanii Yvone Machaka alikuwa mgeni mkubwa huko, ama kwa hakika ajali hiyo haikuwa ya kawaida lakini bahatai njema mzee wa sumo amesevu na anadunda kama kawa na unaweza kumpata kwa kumcheki hapa
katika mtandao wake gari yake ilibiringika mara kadhaa!!!! Kikubwa ni kwamba bado nipo hajafa na yupo mjini Lindi. lakini mchuma tuliokuwa tunasafiria ndio kwisha kazi!!!

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...