Monday, April 27, 2009

Mzee wa sumo apata ajali



MZEE wa Sumo kapata ajali akiwa njiani akirejea jijini Dar alikwenda huko katik maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo msanii Yvone Machaka alikuwa mgeni mkubwa huko, ama kwa hakika ajali hiyo haikuwa ya kawaida lakini bahatai njema mzee wa sumo amesevu na anadunda kama kawa na unaweza kumpata kwa kumcheki hapa
katika mtandao wake gari yake ilibiringika mara kadhaa!!!! Kikubwa ni kwamba bado nipo hajafa na yupo mjini Lindi. lakini mchuma tuliokuwa tunasafiria ndio kwisha kazi!!!

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...