Sunday, April 05, 2009

Wanasiasa bwana hebu wacheki


Rais Jakaya Kikwete akiongozana na mwenyekiti wa Chama cha CUF Mh. Ibrahim Lipumba kushoto na katibu mkuu wa chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad kulia wakati wakitoka kwenye ukumbi hoteli ya Lamada ambako ndiko kulikofanyika Ibada ya kumuombea Marehemu Shaban Khamis Mloo aliyefariki hivi karibuni Rais kikwete alikuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo . Picha ya Ikulu.

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...