Sunday, April 05, 2009

Wanasiasa bwana hebu wacheki


Rais Jakaya Kikwete akiongozana na mwenyekiti wa Chama cha CUF Mh. Ibrahim Lipumba kushoto na katibu mkuu wa chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad kulia wakati wakitoka kwenye ukumbi hoteli ya Lamada ambako ndiko kulikofanyika Ibada ya kumuombea Marehemu Shaban Khamis Mloo aliyefariki hivi karibuni Rais kikwete alikuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo . Picha ya Ikulu.

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...